Ahadi Zake lyrics

  2024-07-01 08:25:58

Ahadi Zake lyrics

Nafsi yangu usichoke, roho yangu msifu Bwana

Alihadi atatenda, mtumanie Bwana

Ahadi zake ni za milele, akiahidi atatenda

Roho yangu nafsi yangu, mtumainie Bwana

Kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi

Na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure

Litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema

Aliahidi atatenda, mtumainie Bwana

Kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi

Na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure

Litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema

Aliahidi atatenda, mtumainie Bwana

Mawazo yake sio yetu, njia zake si kama zetu

Mbingu zilivyo juu ya nchi, mawazo yake ni makuu

Ataagiza fadhili zake, wimbo wake kwangu usiku

Sifadhaike usiiname, mtumainie bwana

Kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi

Na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure

Litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema.

Aliahidi atatenda, mtumainie Bwana

Kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi

Na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure

Litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema

Aliahidi atatenda, mtumainie Bwana

Swahili Worship Songs more
  • country:
  • Languages:Swahili, Chewa
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Swahili Worship Songs Lyrics more
Excellent recommendation
Popular