Baby lyrics

  2024-06-02 12:55:13

Baby lyrics

Mwanzo nilijua upo msalani

Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani

Nikapiga simu yako haipatikani

Ndio unapokea sa' hivi mummy

Upo sehemu gani

Hata kama sijajibu naomba Samahani

Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani

Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani

Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema

Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria

Chakula hakuna, nini nitakupikia

Na Kama tukipika basi bamia

Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria

Kwa nini unashindwa nivumilia

Na mimi mbona ninakupigania

Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?

Sirudi, sababu gani?

Siwezi, aaah

Sirudi

Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki

Zimetoboka unaweza kusema net

Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank

Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki

Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi

Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo

Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema

Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria

Chakula hakuna, nini nitakupikia

Na Kama tukipika basi bamia

Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria

Kwa nini unashindwa nivumilia

Na mimi mbona ninakupigania

Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?

Sirudi, sababu gani?

Siwezi, aaah

Sirudi

  • Artist:Rayvanny
  • Album:Sound From Africa (2021)
Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular