Bora lyrics

Songs   2024-07-04 15:55:50

Bora lyrics

Ulisema unaenda

Kusalimia mama yako na baba

Wiki tumeshakonda

Unarudia analofunza janaba

Kama ushafanya konda

Na mie nipige debe niwe zobe

Wasije wakanibonda

Ni mimi ndo nimiminiwe mashaka

Heri kipofu

Haoni chochote kinachoendelea

Hata kiziwi

Rahisi kutetwa kinachoongelewa

Ila mimi naona nasikia

Naumia navumilia

Penzi kitanzi kinaua

Usivute utamalizia aah

Ni bora, nikuvumilie

Wacha tu mengi niambiwe

Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie (bora)

Acha tu mengi niambiwe

Honey acha iwe oooh

Kuna siku utakuja kukata mizizi yote

Iliyoshikilia moyo wangu, wewe mtoto

Huku na huku utakuta sina nguo zote

Wa kulipigania penzi langu, we mtoto

Huko mwenzangu anasakata rhumba

Mi huku mengi yananikumba

Na siku nikikosa vumba

Ugomvi penzi linaruba

Heri kipofu

Haoni chochote kinachoendelea

Hata kiziwi

Rahisi kutetwa kinachoongelewa

Ila mimi naona nasikia

Naumia navumilia

Penzi kitanzi kinaua

Usivute utamalizia

Ni bora, nikuvumilie

Wacha tu mengi niambiwe

Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie (bora)

Acha tu mengi niambiwe

Honey acha iwe oooh

Ahee ahee, aiyaya

Ahee ahee, aiyaya

Ahee ahee, aiyaya

Oooooh...

Ahee ahee, aiyaya

Ahee ahee, aiyaya

Ahee ahee, aiyaya

Aiyayayaya...

Ni bora, nikuvumilie

Wacha tu mengi niambiwe

Ni bora, oooh acha iwe bora

Ni bora, nikuvumilie (bora)

Acha tu mengi niambiwe

Honey acha iwe oooh

Foby more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Foby Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs