Chausiku [English translation]

  2024-06-02 19:55:49

Chausiku [English translation]

Laisse-moi tranquille

Je veux pas !

[Barnaba]

Eeehe, vidonge kumeza na soda

Eeehe, jinsi utinge na moka eeh

(Ni ushamba) chunga mdomo

Hujaulizwa we unaropoka eeh

Kumiliki buku huku kuliotaga ghorofa eheh

Mumeo nimelala ndani we unataka toka

Ebo!

[Vanessa Mdee]

Maisha yangu nimezaliwa Tandale

Nyumbani Mtugule sikufundwa mkule

Ndo maana

Nyumbani kwetu lazima limbwata

Na tamaduni zetu mwiko kutoa talaka

[Barnaba]

Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza

Kwenda kwa miziki mixer vibao kata

No no nooo, no no no

[Barnaba & Vanessa Mdee]

Chausiku baby

Una majina mengi

Maana unapendwa na wengi

Ebo!, nimejichanganya

Upendo si kitu baby

Maana waongo ni wengi

Usije niacha stendi

Iyeeh, utanichanganya

Chausiku baby (utajijua)

Una majina mengi (I don't)

Maana unapendwa na wengi

Ebo!, nimejichanganya

Upendo si kitu baby (jifikirie mama)

Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)

Usije niacha stendi (no no)

Iyeeh, utanichanganya

[Vanessa Mdee]

Heri ya mimi kanda mbili wewe kata mbugaa

Unajitia mwema baba (oh no no no no)

Kumbe sio mwema kakaa

Juzi ulifumwaga na Rozi

Yule muuza vipodozi (oooh no no)

Mke wa kinyozi (oh no no nooo)

[Barnaba]

Wananizushia, uhuni kwetu mwiko

Mimi mtoto wa sheikh (maskani maadrasa)

[Vanessa Mdee & Barnaba]

Tumezaliwa mtaa mmoja, nakujua (isiwe sababu)

Umechafua mtaa mpaka wauza vitumbua (no no nooo)

Tumalize mzizi wa fitina nimezama kwako

Unanisaidiaje, eheh

Nyumbani kwetu lazima limbwata

Natamaduni zetu mwiko kutoa talaka

Ata mimi nyumbani kwetu vimini wanakataza

Kwenda kwa miziki mixer vibao kata

No no nooo!

[Barnaba & Vanessa Mdee]

Chausiku baby (utajijua)

Una majina mengi (I don't)

Maana unapendwa na wengi

Ebo!, nimejichanganya

Upendo si kitu baby (jifikirie mama)

Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)

Usije niacha stendi (no no)

Iyeeh, utanichanganya

Chausiku baby (utajijua)

Una majina mengi (I don't)

Maana unapendwa na wengi

Ebo!, nimejichanganya

Upendo si kitu baby (jifikirie mama)

Maana waongo ni wengi (mimi mtoto wa sheikh)

Usije niacha stendi (no no)

Aaaah

[Barnaba & Vanessa Mdee]

Maruwe ruwe kichwa kimepagawa dadaa, pagawa dada

Nimeugua we ndo dawaa, we ndo dawa

Unenepe ukonde yote sawaa, yote sawa

Utafute vidonge mi sio dawaa, mi sio dawa

Aaaaah ooh, yeiye baba!

Barnaba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Barnaba Lyrics more
Barnaba Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular