Chekecha cheketua lyrics

Songs   2024-05-20 03:25:48

Chekecha cheketua lyrics

Jamaniii mi nataka saule kama mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo

Mi nna mapenzi tele kama kwetu kule

Wanao nitaka ni wengi ila mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka

Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani

mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani

mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha Aya chekecha cheketua

cheke chekecha cheketua

cheke chekesha cheketua

cheke chekesha cheketua cheke

Masia Uluso kitaa Abu Daddy

Penzi alinipa mama nami leo nakupatia

tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna

Mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia

nami ntalia na wewe mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka

Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa

Nini unataka mi nina miujiza nini unataka

Nikugeuze Princess sema nini unataka

Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani

mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani

mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha Aya chekesha cheketua

cheke chekecha cheketua

cheke chekesha cheketua

cheke chekesha cheketua cheke

Yeah uuh cheke chekecha aah heyiiii

Ali Kiba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Pop-Folk
  • Official site:http://www.IamAlikiba.com
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Ali_Kiba
Ali Kiba Lyrics more
Ali Kiba Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs