Chekecha lyrics

Songs   2024-07-05 00:25:05

Chekecha lyrics

Aah ongeza sauti ya fundi

Ya fundi

Ongeza sauti ya fundi

Sexy Diva

Mchuchu mchumba

Hajapenda sebule na chumba

Mtutu si uvumba

Nampenda na bure na dunda

Anafikisha meli na inashuka

Bandari ooh, bandari ooh

Hiki kinesi kimedunda dunda

Shangari ooh, shangari ooh

Nakufaga nusu kabuti

Bendera hufuata upepo

Nashukaga ka parachuti

Afande nikitoka depo

Anamwaga na kumimina, anachekecha

Ka mzizi shina, anapekecha

Mkate wa kumimina, anachekecha

Kama maji kwenye kisima, anachekecha

Yaani moja wima, anapekecha

Mzima mzima, anachekecha

Yaani kanipa uji

Na sio mchina

Anachekecha, anachekecha

Na mi namcheketua

Anachekecha (mama)

Kipa na matede

Anachekecha, anachekecha

Na mi namcheketua

Anachekecha (oooh)

Yaani kanipa uji

Na mapeni nishavuja wino

Siandiki tena na

Uchafu katupa kwa shimo

Na mate katema ma

Akipanda akidandia

Sijisomi

Akivuna napalilia

Mwandani

Anavyonidekeza toto

Namliwaza dodo

Anavyonipendeza koko

Aii weee

Anamwaga na kumimina, anachekecha

Ka mzizi shina, anapekecha

Mkate wa kumimina, anachekecha

Kama maji kwenye kisima, anachekecha

Yaani moja wima, anapekecha

Mzima mzima, anachekecha

Yaani kanipa uji

Na sio mchina

Anachekecha, anachekecha

Na mi namcheketua

Anachekecha (mama)

Kipa na matede

Anachekecha, anachekecha

Na mi namcheketua

Anachekecha (oooh)

Yaani kanipa uji

Na sio mchina

Anachekecha, anachekecha

Na mi namcheketua

Anachekecha (mama)

Lulu Diva more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lulu Diva Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs