Diana lyrics

Songs   2024-07-03 21:03:28

Diana lyrics

EMB Records

Niko vitani na moyo, baby

Zaidi ya yote kumbuka jana

Unasonga, mi nasonga

Moyo unakataa (mh! aah!)

Kinachonitia wasi wasi

Ni cha kuwaambia kanisani

Na sijafeli, nina imani moyoni

Ulivyobeba virago vyako

Kanisahau mie

Na ukambeba mwanangu

Amwite nani dady

Diana (Diana)

Diana (Diana, Diana)

Wangu Diana, eh! (Diana, Diana)

Nisikize Diana, eh! (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa

Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Naogopa, naogopa

Honey, naogopa

Ninavyo umia bidii kwa kazi

Mbona unaondoka?

Nakupenda sana

Nishawaambia mashabiki na baba

Akulinde sana

Baado nakusubire

Ulivyobeba virago vyako

Kanisahau mie

Na ukambeba mwanangu

Amwite nani dady

Diana (Diana)

Diana (Diana, Diana)

Wangu Diana, eh! (Diana, Diana)

Nisikize Diana, eh! (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa

Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Diana (Diana)

Diana (Diana)

Diana, Diana...

Diana, Diana...

Shallzbaro!

Ulivyobeba virago vyako

Kanisahau mie

Na ukambeba mwanangu

Amwite nani dady

Bahati more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Bahati Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs