Gugugaga lyrics

Songs   2024-07-05 01:13:17

Gugugaga lyrics

Mchizi fulani mwenye body la ajabu

Nataka anieke ndani

Karangi fulani kalaini ka mkate

Tafuna burudani

Ameniweza na waist vuruga na chest

Ameumbika sio wa masihara

Usiombe ni-rotate kwa jinsi ulivyosexy

Body langu ni biashara

Namtia uchizi

I wanna make big man go mad

Make me crazy

Umeniweza umeniteka mazima

Mchizi noma yaani amenipakata

Ameniweka kwa kiganja amenikamata

Kwa msuruu na ameshajichomeka

Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

[Fid Q]

Umenishika umenibamba na haulii chosha

Hata kama utaniita ganga nitaitika --

Nishikie pochi pata ule mwanga kwa kitochi

Am a big boss wengine shamba cha G kosh

Diva nimefurahia kukupata lazima wanikome

Kwa kwangu ni ka sheria inanifuata ili iniponye

Mipango ya kujiba hainiingii wala hainipendezi

Nishachomwa mwiiba hivo sifikirii kuwa mchembezi

Ati zako men na brand na finer, fimer

Gyal hawatawau wau wa

Kunipa murdercase najaribu my best (yeah, sijielewi)

Kunipa murdercase najaribu my best (yeah, sijielewi)

Mchizi noma yaani amenipakata

Ameniweka kwa kiganja amenikamata

Kwa msuruu na ameshajichomeka

Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Lulu Diva more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lulu Diva Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs