Hela lyrics

Songs   2024-05-19 23:54:05

Hela lyrics

Hela hela... Hela hela...

Hela unatutesa pia

Tatizo lako aliekuumba

Ni binadamu angekuumba mungu wewe

Usingenipotea tena sana ningeomba

Niweze kukoa uwe wangu moja kwa moja Hela

Nisha beba takataka

Nipate kula nikikupata unatoroka

Hela

Mbona labda masikini

Wakikupata wakisha kula

Unatoroka hela

Hela hela ( Hela..)

Hela hela, hela, hela hela...

Hela hela, hela, hela hela...

Hela unatutesa sana

Na wananchi wanalalamika

Unapendelea wana siasa Hela

Wanayonywa haki zao

Na wenye nguvu

Aliyewapa jon kio hela

Na machinga nao pia

Wananyanyasika sababu yako wewe hela

Kwa wagonjwa hospital

Bila rushwa hawatibiwi vizuri

Hela hela (hela..)

Hela hela hela hela (hela..)

Hela hela Hela hela

Hela unatutesa sana

Hela hela, Hela hela

Hela hela, Hela hela

Wewe wako matajiri

Ndo maswaiba zako

(Hela unatutesa sana)

Nenda ukae na mayatima

Wapate faraja aaaja aaaja...

Kwani nani asiependa (Kujinafasi)

Nani asiependa (Kujinafasi)

Nani asiependa

Kuwa na wewe hela

Kuna wajane wasiojiweza

Walemavu mpaka Ali K

Hela hela, Hela hela

Hela hela, Hela hela

Hela hela, Hela hela

Hela hela, Hela hela

yeah

Ali Kiba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Pop-Folk
  • Official site:http://www.IamAlikiba.com
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Ali_Kiba
Ali Kiba Lyrics more
Ali Kiba Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs