I Love You lyrics

Songs   2024-07-04 12:20:35

I Love You lyrics

Ilikuwa safari ndefu yenye mateso

Machozi mizigo vikwazo

Ila yote umenitua

Naomba penzi letu lisife kesho

Ukanipa pressure mawazo

Chonde mama utaniua

Na vile hujui kununa fundi wa kudeka

Hata sijakutekenya unacheka

Ooooh tambua ushaniteka

Hata bila chakula nanenepa, my love

Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukakanyanyasika

Ila mpenzi usisahau

Mi ooh oh, I, mi amor, I

My Love, I, te amor, I

I love you I love you

Baby I love you, I love you

I love you (mi nakupenda sana)

I love you (usiniache mama)

Baby I love you (me oooh)

I love you

Sura ya mama, umbo lawama

Unayabia maguu

Unanichanganya ukiinama

Naangalia tattoo

Nipakulie chakula mama sikomi

Asubuhi mchana mpaka jioni

Michezo unaijua mama msomi

Pini kitovu kifua na sikioni

Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukanyanyasika

Ila mpenzi asahau

Mi ooh oh, I, mi amor, I

My Love, I, te amor, I

I love you I love you

Baby I love you, I love you

I love you (mi nakupenda sana)

I love you (usiniache mama)

I love you

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs