I Wish lyrics

  2024-07-02 04:14:06

I Wish lyrics

Mmmmh ulalala

Baby nitakupa moyo nitakupa roho

Yaani mwili mzima

Ningekupa gari ningekupa doh

Ila mi ndo sina

Ukinizidi sana nitakupa roho

Unibebe mzima

Ukitaka haba tutajaza ndoo

Mi uvivu sina

Natamani uwai shela baby uvae

Upendeze na ulivyo chombo wakushangae

Natamani tupewe mbawa baby tupae

Tufike mbali baby wee, baby wee

Haya go, baby ringa

Ikija mvua baby mi nitakukinga

Bailando basi pinda

Ukirudi kwa nyuma nakukinga

Haya go, baby ringa

Ikija mvua baby mi nitakukinga

Bailando basi pinda

Ukirudi kwa nyuma nakukinga

I wish, leo tulewe mpaka tubebwe

I wish, nimwone Wolper akiruka debe

I wish, nimwite Naseeb aimbe Jeje

I wish, our wedding, our wedding

Ona unafuraha we una raha

We chuki wataziraha, watafuba watakosa raha

Basi gimme more, unapokwenda baby na mimi nimo

Utaratibu huko nyuma kuna shimo

Mmh aah utanidondosha wee

Mpaka mapepe

Shilole waambie waache kitete

Joto jipepee

Mtungi ukiisha tule mpepe

Haya go, baby ringa

Ikija mvua baby mi nitakukinga

Bailando basi pinda

Ukirudi kwa nyuma nakukinga

Haya go, baby ringa

Ikija mvua baby mi nitakukinga

Bailando basi pinda

Ukirudi kwa nyuma nakukinga

I wish, leo tulewe mpaka tubebwe

I wish, nimwone Wolper akiruka debe

I wish, nimwite Naseeb aimbe Jeje

I wish, our wedding, our wedding

Kusah more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Kusah Lyrics more
Kusah Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular