Kusah - Kelele

  2024-07-02 04:21:40

Kusah - Kelele

We umenikaa, umenikaa kwa roho

Nafsi mpaka akili yangu

We dada umenibamba mmmh mhh

Ooh darling, halafu tumetokaga mbali mmh

Sioni dalili ya kukuumiza ukalia

Halafu darling, mwenzako nakupenda kweli

Tufike wawili, sitaki mwingine kwa safari

Penzi letu lime-takeover

Nimekunywa, nina hangover

Umegeuka gari, umenigonga mmmh mhh

Penzi letu lime-takeover

Nimekunywa, nina hangover

Umegeuka gari, umenigonga

Umenishika kichwa, umeninyonga

Ila kelele lele, wana kelele lele

Kelele lele, wana kelele lele

Ooh kelele lele (maneno ya kando kando)

Wana kelele lele (hawanaga mipango)

Kelele lele (yatakwisha baba)

Wana kelele lele (iye iye iye)

[Ruby]

Wale walinidhurumu, nikawapa wakaiba

Ukaifuta na sumu, ukaijenga na huba

Baba baba niongezee, nipe vyote nikumbate

Na mahaba nipe yotee, wale wasinikamate iyee

Penzi letu lime-takeover

Nimekunywa, nina hangover

Umegeuka gari, umenigonga (uuuh uuoh)

Penzi letu lime-takeover

Nimekunywa, nina hangover

Umegeuka gari, umenigonga

Umenishika kichwa, umeninyonga

Ila kelele lele (maneno ya kando kando)

Wana kelele lele (hayanaga mipango)

Kelele lele (yatakwisha mama mama)

Wana kelele lele (iye iye iye)

Ooh kelele lele (maneno ya kando kando)

Wana kelele lele (hawanaga mipango)

Kelele lele (yatakwisha baba)

Wana kelele lele (iye iye iye)

Maneno ya kando kando

Hayanaga mipango

Yatakwisha mama mama

Iye iye iye

Kusah more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Kusah Lyrics more
Kusah Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular