Mama la Mama lyrics

Songs   2024-07-07 06:15:44

Mama la Mama lyrics

Mama, mama, mama

La mama eeh

(Ayolizer!)

Mola amenipa sauti niimbe

Nakuimbia wewe, ai

Woman of my life baby mama

Nakupa mabawa, fly

Nani ata dawa utapiwe

Uzuri wako wewe, myn

Material wife huna drama

Niende kwa mwingine, why?

Cha mapenzi kinaa kipime

Uone dhahiri upendo wangu

Usije kunitupa wewe (aaah wewe)

Sina mwingine

Na sitobadili chaguo langu

Moyo wangu nakupa wewe (aaah wewe)

Chocolate colour nywele laini

Lips mafuta na zina shine

Nguo za kung’ara your design

Thanks to the Lord now you’re mine

Sema pwani ya mabara wapi fine

Tukitoka out tukanywe wine

Figure 8 kinara sio nine

Unapenda wasafi tutaku sign

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama eeh

Nikitazama sura yake namwona modo

Naiona taswira ya adabu sioni nyodo

Nauona mpapai alafu unafwata embe dodo

Nawaona wasopenda amani wote macho kodo

Ah ningepeleka wapi hichi kichwa kigumu

Ningepata wapi mwanamke wa kudumu

Ajiunge na Wasafi tusukume gurudumu

Na mnajuaga sitaki haya mambo ya kunywa sumu

Aah mama la mama, ooh mama mia aah

Kwako nimezama nimezama, nimezamia aah

Nihifadhi kama maji kwenye mwili wa ngamia

Usijali kuhusu mambo ya tango na vibamia

Nichakaze shawty, nikanyage sorry

Kwangu kuwa mchaga asubuhi nile kama mtori

Tafadhali shawty usinipandishe mori

Na ukinipa nyama naila kama mnyama pori

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama

We ndo mama mama, mama la mama

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs