Mama Lao lyrics

  2024-07-02 03:56:25

Mama Lao lyrics

Yeye hakutaka pesa alitaka furaha

Nami nikampatia

Kwa yale madeko mtoto akaja

Kusah nitakusalia

Unapokwenda nami nipo

Nimekubali yapitishwe maandiko

Imani yangu kwako ipo

Mimi nawe kitutenganishe kifo

Acha wa vijora wapambe (Ayee)

Baby acha watuchambe (Ayee)

Wa kutunang'a watunang'e (Ayee)

Penzi letu tulipambe (Ayee)

We ndo mama lao, mama lao

We ndo mama lao, mama lao

Mwenzenu kanipenda

Na moyoni nina pete

Kasema niwe naye kayachoka maseke

Kachoka yale mangumi na kupigwa mateke

Kasema ye hawezi kaukata utepe

Akanikaba shingo umemkaba roho

Ni penzi la kishindo la kikomando

Akikaa ukikisima twaijaza ndoo

Halloo, loo loo loo

Acha wa vijora wapambe (Ayee)

Baby acha watuchambe (Ayee)

Wa kutunang'a watunang'e (Ayee)

Penzi letu tulipambe (Ayee)

We ndo mama lao, mama lao

We ndo mama lao, mama lao

Achana nao!

We ndo mama lao, mama lao

We ndo mama lao, mama lao

Kusah more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Kusah Lyrics more
Kusah Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular