Mimi Ni Wa Juu lyrics

Songs   2024-06-30 14:01:50

Mimi Ni Wa Juu lyrics

Juu, juu, juu sana

Kuna wakati wa giza

Mbele sioni najiuliza

Mbona kama hizi shida

Zimekawia kuisha

Katikati ya maswali

Nasikia sauti ndani

Imebeba ujasiri

Ikinitaka nikiri

Nikisema

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Juu sana

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya

Machozi na magumu

Mimi ni mshindi tu

Kamusi ndiye Mungu

Haijalishi ni giza

Yeye ni nuru yangu

Nitashishinda hii vita

Na yote yatakwisha

Nitasimama tena

Nitainuka tena

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu tu

Nitasimama tena

Nitainuka tena

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)

Mimi ni wa juu (juu zaidi ya mawingu)

Mimi ni wa juu (juu sana)

Juu sana (nimeketishwa juu sana)

Mimi ni wa juu (kwenye milele tu)

Mimi ni wa juu (nawaza yaliyo juu)

Mimi ni wa juu (juu saana)

Juu sana

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Juu, juu sana

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Juu, juu sana

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)

Mimi ni wa juu (haijalishi mazingira haya)

Mimi ni wa juu (haijalishi napitia nini)

Juu sana (yote yatapita)

Mimi ni wa juu (mimi nitashinda tu)

Mimi ni wa juu (kwa juu sana)

Mimi ni wa juu (juu sana)

Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya

Machozi na magumu

Mimi ni mshindi tu

Kamusi ndiye Mungu

Nandy more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Folk
  • Official site:
  • Wiki:
Nandy Lyrics more
Nandy Featuring Lyrics more
Nandy Also Performed Pyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs