Miss Buza lyrics

Songs   2024-07-07 06:09:39

Miss Buza lyrics

Huyo miss Buza

Mama miss Buza

Jamani miss Buza

Nampenda miss Buza

Rangi yake ya vidole kama ndizi za kuchoma

Harufu yake ya wigi unapata Corona

Hee kikipigwa kigodoro lazima utamuona

Shughuli hajaalikwa, kijola ka shashola

Ila chumbani si gogo mwali

Mbuzi kagoma kifo cha mende chali

Uvunguni sakafu juu ya dari

Ua mtoto anaupaka asali mama

Akiona simu (anapita nayo)

Eh! Akiona walleti (anapita nayo)

Eh! Akiona dundo kali (anapita nayo)

Yaani akiona begi kali (anapita nayo)

Ana msitu kwapani dala kifuani

Kwenye dala dala anapita dirishani

Ghetto anazima taa, vipele mapajani

Ana dera jipya, chupi la zamani

Ah yo yo yo

Huyo miss Buza

Mama miss Buza

Jamani miss Buza

Nampenda miss Buza

Haya kelele ya kwanza kwa missi yake (weh)

Kelele ya pili kwa missi yake (weh, weh)

Kelele ya tatu kwa missi yake (weh, weh, weh weh)

Mtoto anachu chu, anachuchumia

Ana chu chu, mpaka nguo anavua

Mtoto anachu chu, anachuchumia

Ana chu chu, mpaka nguo anavua

Akivua shati muache, muache

Ameamua muache, muache

Akivua shati muache, muache

Ameamua muache, muache

Katikati nataka aloshindikana

Katikati nataka chura nyelana

Mwanangu katikati nataka aloshindikana

Katikati nataka chura nyelana

Basi twende tunaenda kushoto

Wanangu kushoto

Aahuni kushoto, masisela

Turudi kulia, wanangu kulia

Masela kulia, wanangu

Basi twende tunaenda kushoto

Eh kushoto

Wanangu kushoto

Yii kushoto

Basi twende tunaenda kulia

Wanangu kulia, ati, ati....

Basi twende teremka

We mwanagu teremka

Teremka shika mabega teremka

Bwana teremka, masisela teremka

Teremka shika kiuno teremka

We mwanangu teremka, mama teremka

Teremka shika magoti teremka

Basi twende

Nionyeshe unavyochumaga mchicha tembele

Nionyeshe unavyochumaga mchicha

Mama nioneshe unavyochumaga mchicha tembele

Nionyeshe unavyochumaga mchicha

Oya twende kama unalo tingisha, we mama tingisha

Tuone tingisha, we dada tingisha

Kama unalo tingisha, we mama tingisha

Tuone tingisha, we dada tingisha

Eyooo Kenny

Basi twende shosho, we nioneshe sho

Style gani unacheza kidalipo

We mwanangu shosho, we nioneshe sho

Style gani unacheza kidalipo

Basi tuende kibaikoko we mtoto

Miguu juu ning'inia kama popo

Kibaikoko we mtoto

Miguu juu ning'inia kama popo

Unakaa chini unakwenda unakwenda unakwenda

Shika magoti unashuka unashuka unashuka

Na ka chini unakwendaa unakwendaa unakwendaa

Shika magoti unashuka unashuka unashuka

Basi twende timua vumbi timua, shemeji atafua

Timua vumbi timua, shemeji atafua

Bwana timua vumbi, timua shemeji atafua

Timua tena timua, shemeji atafua

Wee Juma Lokole number 1

Kida mchoksi number 1

Hahaha Idriss wa kitaa number 1

Weeee Aristote

Wapi Uncle Shamte ongeza ah mama Dangote

Mwambie akatafte na vyumba havipangishwi

Eeh kidogo dogo msalimie Kenny, eeeeh

Tony Vumwe, Ricardo Momo

K Imani, Soni Weka

Eeh mwanangu Ommy Crazy

Ommy Kichaa kini kazaa

HK HK wapi Wanjala?

Lengo Dangote nipelee

Ali mwa Kimwana Papichulo weee

Eeh baba Benami, baba Benami aiii

Ah wote, ah wote

RJ the Dj, all day

Wananiitaga Dulla Makabila yaani King of Singeli

We Esma Platnumz anakusalimia mkubwa Fella

Waambie wasitume wavulana kwenye shughli za wanaume

Mmmh Dulla jamani tucharaze kitu gani?

Haijaisha tu, kama singeli ndo kurushana hivi

Mi siwezi jamani inatosha

(Lazer on the Mix)

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs