Nalingi Ye lyrics

Songs   2024-07-06 20:39:17

Nalingi Ye lyrics

Kwanza rangi yake

Mfano wa tausi ndege wake

Huku kununa kwake

Akinuna aznidi kuwa mwake

Niogopee

Niogopee ukisita nuna

Niogopee

Ili mradi tuwe na furaha

Niogopee

Niogopee ukisita nuna

Niogopee

Ili mradi tuishi kwa furaha

Nami ninyuke pamba

Unipe lava lava

Nijione ndo mie

Nikiwa zangu viwanja

Nijione mnjanja

Niwe na shine mie

Eeh basi njoo

Nakupenda vibaya

Basi njoo

Nikikuona nagwaya

Basi njoo

Nakupenda vibaya

Basi njoo

Nikikuona nagwaya Ha!

Nifanye nini mie?

Nakupenda my sweet ooh, baby boo

Nifanye nini mie?

Nakuhitaji my girl, baby baby baby ooh

Nifanye nini mie?

Nakupenda my sweet ooh, baby boo

Nifanye nini mie?

Nakuhitaji my girl, baby baby baby ooh

Ah, tabasamu wazimu

Ukarimu nakuheshimu

Namuomba ya karima

Azidishie timamu

Usinighiribu,

Nikapata taabu

Udhaifu wangu

Isiwe sababu, ona nakupenda

Na penzi letu

Ni kama maji yaliyo twaa maa

Wasambaze tusiwape ya kusema

Chumbani tuuzie jina

Naomba unitunzie jina iyee

Sheri yoo motema

Nifanye nini mie?

Nakupenda my sweet ooh, baby boo

Nifanye nini mie?

Nakuhitaji my girl, baby baby baby ooh

Nifanye nini mie?

Nakupenda my sweet ooh, baby boo

Nifanye nini mie?

Nakuhitaji my girl, baby baby baby ooh

We ndo wangu wa uzima

Tutaungama daima

Jua likichomoza

Likizama, huniishi hamu

We ndo wangu wa uzima

Wa uzima yeah

Ukamilifu timamu

Hey (ahoo)

Hey (aheee)

Hey (yeah yeah)

Hey (oooh)

Mimi na wee (hey)

Mpaka milele (hey)

Mimi na wee (hey)

Wowowo....

Abdukiba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Folk
  • Official site:
  • Wiki:
Abdukiba Lyrics more
Abdukiba Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs