Naogopa lyrics

Songs   2024-07-05 01:19:23

Naogopa lyrics

You are my candle light

Nakupa sifa sijaona

Jinsi una petty petty

Wanishika moyo wayoyoma

Kwa wengine sichezi

Penzi lako kwangu ngoma

Nitalinda penzi

Pembezoni mpaka Gola

Usiniache feli

Ukanidanganya danganya

Penzi la kitapeli

Utu ukautawanya

Mi nakupenda beiby

Kwa marefu na mapana

Wengine wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Wengine wasije wakanipora(Diva Diva)

Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Shikilia unaposhika

Na vipofu tule nao

Hello dear umenishika

Nipe tam bila wao

Umenileta mbali ya dunia

Siendi tena kwao

Nakuona mali mara mia

Sipendi nyuso zao

Cheki unalock

Ndani kufuli hugusi

Napenda catwalk

Alivozichonga nyusi

Napenda nywele ndefu

Kama toto la Urusi

Ukivaa unapendeza

Vaa gauni la harusi

Nyuma unavyorudi

Mbele unavyokwenda

Inabaki sina budi

Sijabugi kukupenda

Tena makusudi

Ikiss na lips tender

Chumbani mpaka na hoodi

Hivi ndivyo inavyokwenda

You're my Lulu Diva

Mtoto umeiva

Dhamani ya dhahabu

Sitaki tena masilver

Oooh sipati shida

Sitaki tiba

Tabibu kashafika

Nimesema sitaki fever

Usiniache feli

Ukanidanganya danganya

Penzi la kitapeli

Utu ukautawanya

Mi nakupenda beiby

Kwa marefu na mapana

Wengine wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Wengine wasije wakanipora(Diva Diva)

Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora

Wakanipora oooh

Kwa raha zako sitamani

Sitamani mwingine

Nimeshiba kwako sitamani

Sitamani mwingine

Oooh my beiby sitamani

Sitamani mwingine

Unavyonipa vya ndani

Sitamani mwingine

Ahadi kukupa dosi

Ili usitamani mwingine

Nakufuta na machozi

Wabanie matozi wakale pengine

Sitamani! Sitamani mwingine

Sitamani! Sitamani mwingine

(Uh, Diva, Diva)

Lulu Diva more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lulu Diva Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs