Nibebe lyrics

  2024-06-02 20:36:41

Nibebe lyrics

Mmmh uyee, ulalala uyee

Mmmh mmmh

(Mafia)

Labda mbingu na dunia

Vije vishikane wabadili mchana

Uwe usiku wa manane

Wakitaka tuachane

Watupige mapanga

Baby tufe tuzikane

Si unajua nakujua

Sasa Walimwengu

Mimi wataniambia nini?

Na wakitaka kukuambia

Waambie baby we ndo unanijua mimi

Na vile vipengele si ungehama

Ningeingia maji ningezama

Walikuvua nguo ukachutama

Ukasema huniachi ukang'ang'ana

Na mimi ee

Penzi ni kama kamari

Tucheze hakuna dosari

Tena hakuna kujali

Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari

Wapambe wakae mbali

Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari

Tucheze hakuna dosari

Tena hakuna kujali

Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari

Wapambe wakae mbali

Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala

Basi nibebe nibebe (Unibebe)

Nibebe nibebe (Ah nimechoka)

Basi nibebe nibebe

Mmmh unibebe nibebe

Unibebe nibebe nibebe

Kwa kila hali nibebe

Wambea hawaishi maneno nibebe

Nibebe, nibebe nibebe

Nawaza nikutunukie tuzo

Tumeshinda vikwazo tangu mwanzo

Si rahisi mami love

Kushindania umaneno

Wanatamani nikudharau

Niseme nimepanda dau

Kisa nikusahau wewe

Wangemiliki mbuga

Wangeshatufukuza

Kama wanyama ndege

Tule mihogo tule dagaa

Ugali wa kuchoma na vinguruka

Tuishi vile tunavyotaka

Binadamu hatuwezi kuwaridhisha

Penzi ni kama kamari

Tucheze hakuna dosari

Tena hakuna kujali

Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari

Wapambe wakae mbali

Tucheze tujivinjari oo

Penzi ni kama kamari

Tucheze hakuna dosari

Tena hakuna kujali

Ooh nah nah

Tena lipigwe zumari

Wapambe wakae mbali

Tucheze tujivinjari oo

Oooh lala

Basi nibebe nibebe (Unibebe)

Nibebe nibebe (Ah nimechoka)

Basi nibebe nibebe

Mmmh unibebe nibebe

Unibebe nibebe nibebe

Kwa kila hali nibebe

Wambea hawaishi maneno nibebe

Nibebe, nibebe nibebe

Kusah more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Kusah Lyrics more
Kusah Featuring Lyrics more
Excellent recommendation
Popular