Nibembee lyrics

Songs   2024-07-04 16:22:16

Nibembee lyrics

(Ayolizer)

Nah nah nah nah, aah

Kama tatizo pesa, niko radhi kuiba (aah)

Kwako niseme nini nawe wangu swahiba (aah)

Mtoto mwendo wa jongoo amejawa ghaiba

Kutwa juba swala tano, akulinde Kalima aah

Nampa chini ya tikiti

Nami ndo parachichi

Leo umenasa madichi

Penzi twalichokocha

Masaji ya asali mbichi

Maji mixer ya hiliki

Michezo samasoti

Dodo nimeokota

Baby wacha nibembee

Kwa penzi lako nibembee

Nimefika kikomo nibembee

Kwa vyako vinono, nibembee nibembee

Mmmh majagala chini, nibembee

Hebu jipinde kwa chini, nibembee

Kwako nitake nini tena, nibembee

Wacha, nibembee nibembee

Aii mimi

Aii mimi

Vocha yako dhamani

Ya kipato changu kidogo

Anivumiliaga

Kwa vidogo salary

Ye mtunza vya ndani

Nnje kuvitoaga mwiko

Penzi sangara shombo

Kubishana ni kawaida

Beiby we ndo maji kisima

Sharti uiname(Teke teke)

Zamu ya kwako mazima

Msumari nishindilie(Teke teke)

Kwako nitake nini tena?

Unavyoikunja mzima mzima(Iweke iweke)

Visa visa vina

Hadharani washuhudie(Iweke iweke)

Nampa chini ya tikiti

Nami ndo parachichi

Leo umenasa madichi

Penzi twalichokocha

Masaji ya asali mbichi

Maji mixer ya hiliki

Michezo samasoti

Dodo nimeokota

Baby wacha nibembee

Kwa penzi lako nibembee

Nimefika kikomo nibembee

Kwa vyako vinono, nibembee nibembee

Mmmh majagala chini, nibembee

Hebu jipinde kwa chini, nibembee

Kwako nitake nini tena, nibembee

Wacha, nibembee nibembee, nibembee

Aii mimi, aha

Nah nah nah nah, nah

Mtoto kapakwa msiwasili, nibembee

Danga na vuti, nibembee

Oooh niseme nini, nibembee

Nibembee, nibembee, nibembee

Classic!

Barnaba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Barnaba Lyrics more
Barnaba Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs