Nilegeze lyrics

Songs   2024-07-05 01:52:35

Nilegeze lyrics

Matamu ulonipa jana

Yanazidi hamu mpaka zinasimama

Usinipe nusu

Me kwako mzima mzima, jiliwazee

Ndotoni unanijia

Huoni nalewa me nalia

Ikifika inanata, swadakta

Ukiniacha nitachakaa

Haya nile

Nilegeze nile, wewe sawa nile

Nilegeze nile, mwenyewe haya nile

Nilegeze nile, wewe sawa nile

Nilegeze nile, mwenyewe

Kama kamari,

Wamelamba kisuturu fu kopa

Migandisho hatari

Naleta utukutu hadi kwenye sofa

Mimi nisemeje

Mteja kwako nabembea

Naweka na ukuta, weka nukta

Mpaka futa ishike uta

Ndotoni unanijia

Huoni nalewa me nalia

Ikifika inanata, swadakta

Ukiniacha nitachakaa

Haya nile

Nilegeze nile, wewe sawa nile

Nilegeze nile, mwenyewe haya nile

Nilegeze nile, wewe sawa nile

Nilegeze nile, mwenyewe

Nalegea(ooh beiby)

Nalegea(ukinishika shika)

Nalegea(dembe dembe mwenzako)

Nalegea(ooh wako utamu)

Lulu Diva more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lulu Diva Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs