Sawa lyrics

Songs   2024-07-02 09:20:56

Sawa lyrics

Sasa kila kitu doro

Tumevumilia kwa maisha tumetusua

Tulivyokula kiporo

Nilifikiria tunda watalichukua

Hakuna tena sorrow

Ni muda wa kujivunia na kutulia

Shopping twende Comoro

Na unachofikiria nitakununulia

Maisha yetu tamu yaani tende

Sina sababu yaani bora nikupende

Wewe ni kichwa mimi ni pembe

Kama penzi nitakupa tamu usiende

Ya habibi

Ni wewe umenivumilia

Sina budi

Kukuwa nawe beiby

Ulinishika nikashikilia, tukapenda

Hawajui tulipoanzia, wanasengenya

Mahaba we wanijulia, unazo tekenya

Unapotaka tutaishia, daima kwenda

Oooh beiby beiby na wala usione ghari

Kwa hiyo maisha tunayokaa

Oooh beiby beiby ukitaka pia magari

Ukitaka juu tunapaa

Kila kitu sawa (sawa)

Usijali mama kila siku uko na mimi

Yaani sawa (sawa)

Unachokipenda utakipata hapa mjini

Nasema sawa (sawa)

Tumetoka mbali sitakuendea pembeni

Nasema sawa (sawa)

Yaani sawa (sawa)

Mi napenda unavyonukia

Urembo wako wee wavutia

Macho yako ukiniangalia

Moyo wangu unatulia

Kisura mi nagharamika mwenyewe

Kwanini nisiwe na wewe

Ka ni wakufura, tumeteseka wenyewe

Waache wasituelewe

Inshallah Mola tumuombe

-- akuondolee

Maisha mema tuendelee

Nyuma tusiregee

Ya habibi

Ni wewe umenivumilia

Sina budi

Kukuwa nawe beiby

Ulinishika nikashikilia, tukapenda

Hawajui tulipoanzia, wanasengenya

Ni mahaba we wanijulia, unazo tekenya

Unapotaka tutaishia, daima kwenda

Dunia ilinifunza

Ila wewe ukatulia

Sasa nakutunza

Na maisha twaurahia

Kila kitu sawa (sawa)

Usijali mama kila siku uko na mimi

Yaani sawa (sawa)

Unachokipenda utakipata hapa mjini

Nasema sawa (sawa)

Tumetoka mbali sitakuendea pembeni

Nasema sawa (sawa)

Yaani sawa (sawa)

Masauti more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Masauti Lyrics more
Masauti Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs