Shikwambi lyrics

Songs   2024-07-07 05:25:53

Shikwambi lyrics

Eti umedataa

Amekuka mataa

Nyani kwenye mitego umenasa eeh

Ye ni chuma we sumaku kakuvutaa eeh

Unapiga bapa ya Savana

Club mabatani mwaongozana

Kumbe shikwambi wadanganywa

Unafuga wenzako wala nyama

Viatu vyako umeshona

Ye unamwonga vingi vingine havai

Unamwonga ananona

Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Viatu umeshona

Ye unamwonga vingi vingine havai

Unamwonga ananona

Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Shikwambi (shikwambi)

Uyo Shikwambi eeh

Ale Shikwambi

Uyo Shikwambi eeh

Ana sura nyingi za majonzi za furaha

Asikutekee eeh

Na ana plan nyingi za kukuteka utoe chapaa

Na ni mapepee

Una tuma vocha kwa mikogo

Kumbe ana chat na Chogo

Wenzako wana kula nzima we robo

Pungoza michecho na shobo

Viatu vyako umeshona

Ye unamwonga vingi vingine havai

Unamwonga ananona

Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Viatu umeshona

Ye unamwonga vingi vingine havai

Unamwonga ananona

Na bado anawengi kwa hiyo usijidai

Shikwambi (Shikwambi)

Uyo Shikwambi eeh

Ale Shikwambi

Uyo Shikwambi eeh

Kuna wengine kawateka

Asikuteke nawe

Kua makini usidanganywe

Akiwa yuko nawe

Maanra muongo ooh

Maana muongo Shikwambi

Ana longo longo ooh

Longo longo Shikwambi

Viatu umeshona aah

Unamwonga ananona

Shikwambi

Uyo Shikwambi eeh

Ale Shikwambi

Uyo Shikwambi eeh

Yeah shikwambi Raymond baby

Uyo Shikwambi eeh

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs