Sorry lyrics

Songs   2024-07-06 12:15:47

Sorry lyrics

Emb records

Mama mama lalelee

DK Kwenye beat na bahati tena

Niko na mengi masikireti

Niyatoeje kwenye kibeti

Sometimes naregreti

I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti

Mengine makubwa na mebgine petty

Na mengine mmewitnesi

Am so sorry

Kabla niseme sana, baba nisikize

Leo niko na bratha, anaitwa DK

Baba ulie juu mbinguni,najua unatazama

Mimi ni mwanako, mpendwa katika bwana

Naishi kwa bahari, mchanga uliozama

Kwa mbali naona vumbi, iliyohama

Na njaa ilitawala na tamaa ya ganji

Nafanya mradi kwa kivuli cha uchungaji

Nazini sana na upako wa kipaji

Gunia la dhambi na namvisha Yesu taji

Niko na mengi masikireti

Niyatoeje kwenye kibeti

Sometimes naregreti

I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti

Mengine makubwa na mebgine petty

Na mengine mmewitnesi

Am so sorry

Sorry, sorry sorry, am sorry

Sorry, sorry sorry, am sorry

Cadre de contenu incorporé

Mama aliniambia, nikafanya kupuuzia

Leo najuta, nashindwa kusimulia

Kafiri hazaliwi, anajengwa na dunia

Kuna muda mtu mzuri, hutengwa na hatia

Nilicho na kini sana, nakumbuka

Nilizaliwa nyota upako kuruka

Nikasahau safari ya macho inafilisi duka

Ata mwenye roho safi akifa ananuka

Niko na mengi masikireti

Niyatoeje kwenye kibeti

Sometimes naregreti

I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti

mengine makubwa na mebgine petty

Na mengine mmewitnesi

Am so sorry

(Shazbaro)

Lord of Lord, you're gracious

Sorry, am sorry

Compassion, slow to anger and of greatness

Am sorry!

Bahati more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Bahati Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs