Taniua lyrics

Songs   2024-07-06 12:01:29

Taniua lyrics

Mmmh, EMB Records

Odi wa Murang'a mmmh

Genge la Boondoksi

Na Baha taniua mmmh

Masherehe (Taniua)

Hizi kiherehere (Taniua)

Dhambi zangu (Taniua)

Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Rieng priest naskia unaitwa Baha

Ju si ni wazing utatuskia hatunaga baha

Ju ka ni jing zimeshika mara kadhaa

Labda niache mchuma nikaseti kwanza wada

Labda niache pupa nikachome kwanza shada

Labda niache chingri nisitupe kwanza rada

Ama nikateke wale siz wa ibada

Kuna matym natamani chana

Aaah eeh kuchana

Temptation kiu ya thiang'a

Aaah eeh ya thiang'a

Injili yangu inapingwa sana

Aaah eeh inapingwa sana

Wakinicheki na Odi wa Murang'a

Aaah eeh

Masherehe (Taniua)

Hizi kiherehere (Taniua)

Dhambi zangu (Taniua)

Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Walai walai, mashada fangi gani

Kamande wa Kioi, tupa gospel hewani

Mtoto wa mama before tuanze nina swali

Kwa kesi ya mbinguni unaeza nitetea kweli?

Mgenge ni mgenge for real (For real)

Na njege ni njege for real

Ka ushai backslide mi najua unanifeel

Sijai toa tithe na mi hukuliwa na guilt

Odi huku ni mapitio ooh

Majaribio ooh

Umetoka mbali tega sikio ooh

Na leo tuko studio

Masherehe (Taniua)

Hizi kiherehere (Taniua)

Dhambi zangu (Taniua)

Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Nilidai Holy water nikashika Jah

Warasta wote ukweli wameumbwa na Sir Jah

Holy communion mi huziletanga na jug

Ex wangu husema eti labda umenidump

Da, da labda uko done

Ba, ba labda niko bar

Ni kuthokia ju labda niko bank

Illumi sema ati labda hii sasha bank

Gun gun huskii nina gun

Ju leo Mtua anauliza kama ataban

Bang bang washa washa bang

Bang turn washa washa burn

Masherehe (Taniua)

Hizi kiherehere (Taniua)

Dhambi zangu (Taniua)

Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today

Mbona unakaa unauliza mbona?

Mbona mawazo ya today

Jana ulichana sasa ni hangover

Tuna craving ya, neno la Bwana

Bikra Maria tupe rehema

Tuna craving ya, neno la Bwana

Bikra Maria tupe rehema

Bahati more
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Bahati Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs