Tuachane lyrics

Songs   2024-07-02 20:04:34

Tuachane lyrics

Wasafi

(Ayolizer!)

Wasafai Records!

Kama imeshindikana kunirudia isiwe tabu

Usiuforce moyo kupenda usipo stahili

Ya Nini Kung’ang’ania nishachoka kuwekwa sub

Siwezi oh na mapenzi nishaghaili

Tena niko tayari

Vipigwe vinumbi kengere kwa sherehe

Kinaga ubagha

Mbele ya umati tuachane

Na kama hautojali

Tuite waumini mapadri na masheikh

Yaishe labda sa kwa nini tutesane

Kweli we ndo nikupendae

Ila unanipa ghadabu jina

Tusitoane nyongo

Na kama umenichoka eh

Niache ki staarabu jina

Usinipe chongo iye

Mwili umebaki kongoro

Nyama sina ni mifupa

Naiona ndomboro

Kabisa siwezi furukuta

Penzi kiporo

limeshachina linanuka

Huishi kokoro

Purukushani kutwa kucha iyeeh

Bora tuachane

Bora tuachane siwezi

Bora tuachane

Yamenishinda mapenzi

Mi naona bora tuachane eeh

Tuachane siwezi

Bora tuachane

Yamenishinda mapenzi

Ni dhahili Kisima kimekauka maji

Ndo maana naona kata sina maana tena

Nilifikiri mi gonjwa langu limepata mponyaji

Umeniongezea homa mwili wote wantetema

Mi naona basi

Labda si riziki yangu

Kama hunitaki

Acha tu niende zangu

Ya nini mishikaki

Ntatafuta boda yangu

Nijinafasi

Niipande peke yangu

Mwili umebaki kongoro

Nyama sina ni mifupa

Naiona ndomboro

Kabisa siwezi furukuta

Penzi kiporo

limeshachina linanuka

Huishi kokoro

Purukushani kutwa kucha iyeeh

Bora tuachane

Bora tuachane, siwezi

Bora tuachane

Yamenishinda mapenzi

Mi naona bora tuachane eeh

Tuachane siwezi

Bora tuachane

Yamenishinda mapenzi

Ooh oh! Liwalo na liwe

Na namba zako ntafuta ama unasemaje

Limalo na liwe nguo zako mashuka

Wacha nkazimwage

Liwalo na liwe

Sio kama nimesusa

Ila ntafanyaje ?

Liwalo na liwe we kaa mi nanyanyka

Acha tu niagee

Hiiiiiii…

Lava Lava more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lava Lava Lyrics more
Lava Lava Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs