Unanitosha lyrics

Songs   2024-07-06 14:10:11

Unanitosha lyrics

Mahaba mbingu la penzi lanifunika

Abadan sito kukimbia (yeah)

Kifuani, ninapenda ukishika unadeka

Na mambo ya pwani, unanipatia iyeee

Niambie nikupe nini unachokikosa, usibadilike

Kama wewe kufuli mie kitasa, mlango nishike

Na time nikikosa usiende kukopa, unifedheheshwe

Nyumba penzi lisiwe la mateka, lipepee yeah

Ona nahisi baridi kutetema

Unikumbatie raha sanaa

Nipee kona, mikunju ka summer beach hodari

Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia

Unaendaga nami, unanitosha kupindukia

Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia

Iye iye iye iye, unanitosha kupindukia

Iyo iyo, iyo iyo

Tukikosa mchana, tutakula dinner

Siri nitunzie

Sijachana jina, nimembeba heshima

Kwako nitulie

Unipe ulafundi wa nakungwi

Washushuke japo sio mtungi

Tuishie mpaka tulilambe vumbi

Tuwasute walevi na mazombi

Ona nahisi baridi kutetema

Unikumbatie raha sanaa

Nipee kona, mikunju ka summer beach hodari

Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia

Unaendaga nami, unanitosha kupindukia

Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia

Iye iye iye iye, unanitosha kupindukia

Iye iye iye iye

Iye iye iye iye

Ooooh oooh

Ooooh oooh

Lomodo more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Lomodo Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs