Vumilia lyrics

Songs   2024-07-07 05:52:28

Vumilia lyrics

(It's Bob Manecky)

Niwe kibatari

Ama mwanga wa mshumaa

Kwenye kigiza cha jioni

Nikagonga ngangari

Tulishushie na dagaa

Ukishatoka sokoni

Kisha tufunge safari

Itayochukua masaa

Utokwe jasho mgongoni

Na venye nina machachari

Nikikushika kibaa

Utamu hadi kinondoni

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini?

Sina mbele sina nyuma masikini

Chakula shida na tunalala chini, niambie

Mmh, wenye mapesa vogi na ma-Lamborghini

Wasije fanya ukanipiga chini

Bado nawaza hivi nitakupa nini, utulie

Sambusa, kachori, pamia eh (aaah)

Tukipata pesa ni sangara

Mchicha, mtori, pamia eh (aaah)

Kama tukikosa tunalala

Kwa hiyo mama usijali

Vumilia, iyee, vumilia

Iye iye vumilia

Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia

Vumilia, vumilia

Vumilia kesho

Tutapata mapenzi

Najua unatamani high waist, make up

Weaving za Dubai na China

Ule pamba nyepesi setaa

Chain ya dhahabu yenye jina

Oooooh, basi mama vumilia

Nakupigania mpenzi subiria

Oooooh, acha kujiinamia

Punguza kulia atatusaidia

Ati mapenzi si moyo, mapenzi ni pesa

Kama kweli masikini yatatutesa

Uchoyo, usinipe pressure

Naomba unipende

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini?

Sina mbele sina nyuma masikini

Chakula shida na tunalala chini, niambie

Mmh, wenye mapesa vogi na ma-Lamborghini

Wasije fanya ukanipiga chini

Bado nawaza hivi nitakupa nini, utulie

Sambusa, kachori, pamia eh (aaah)

Tukipata pesa ni sangara

Mchicha, mtori, pamia eh (aaah)

Kama tukikosa tunalala

Kwa hiyo mama usijali

Vumilia, iyee, vumilia

Iye iye vumilia

Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia

Vumilia, vumilia

Vumilia kesho

Tutapata mapenzi

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs