Yalah lyrics

Songs   2024-07-02 08:48:18

Yalah lyrics

Nimesadiki ya wahenga

Penzi lina raha yake

Mzigo kwa tenga

Kimfaacho mtu chake

Mndenge nimekatwa ngenga

Aahh umatemate

Najinyenga nyenga

Maomao mao tate

Huwaga sionii

Ninavyoipanda milima

Ulimi sikioni

Mwili wote wanzizima

Mwenzenu sioni

Macho mawili yote sina

Tunaanza jikoni

Mpaka varandani twalindima

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Penzi limenzidi yala yalaa yalaaa

Ni kubwa yalaa yalaaa

Zito yala yalaaa yaala

Tungezaliwa zamani

Ningesema penzi togwa

Tulinywe kibarazani

Tukitafuna maboga

Nimekipanda uwani

Kibustani cha uyoga

Tukishiba biriani

Baby tule mboga mboga

Sasa polisi wa nini

Nikikosa nikamate wewe

Mahakama ya nini

Nikikosa nihukumu wewe

Penzi chupa la balimi

Tuligide baby hadi tulewe

Vindege shorwe vya nini

Kifaranga unibebe we mwewe

Huwaga sionii

Ninavyoipanda milima

Ulimi sikioni

Mwili wote wanzizima

Mwenzenu sioni

Macho mawili yote sina

Tunaanza jikoni

Mpaka varandani twarindima

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Yalaa yalaaa yalaa yalaaa

Penzi limenzidi yala yalaa yalaaa

Ni kubwa yalaa yalaaa

Zito yala yalaaa yaala

Mbosso more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:
  • Official site:https://www.instagram.com/mbosso_/?hl=en
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Mbosso?wprov=sfti1
Mbosso Lyrics more
Mbosso Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs