Zezeta lyrics

Songs   2024-07-07 06:13:29

Zezeta lyrics

Ayolizer

Wasafi Records!

Baby mooh

Nifanye Big G unitafune

Ama niwe sindano

Nawe uwe uzi nguo nifume

Ama niwe ndoo

Uwe maji yangu unawanume

Nifanye kucha

Kama ukiwasha mi nikukune

Sema mama

Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu

Chumbani uwe simu unalia hata nikiku beepu

Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu

Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku

Shika ufunguo gari ya bosi wangu

Kwako zezeta zezeta

Niko ladhi nifunge ule wewe

Mimi zezeta zezeta

Au unataka hati nyumba ya baba yangu

Kwako zezeta zezeta

Kifaranga nibebe kama mwehu

Mimi zezeta zezeta

Mama sitaki paka na panya vita za nyingi

Mi nataka niwe mafuta

Ujipakaze kote mwilini eeh

Ama niwe taulo kanga laini

Ukioga ninakufuta

Kutoka juu mpaka kwa chini, mashallah

Ulivyo mwenzako taabani

Naishi muchumba siendi varandani

Tena sikufanyi vocha soko dukani

Nikutumie muchumba nikutupe jaralani

Sema mama

Niwe duka la vipodozi nikuvutie kwa kila kitu

Chumbani uwe simu unalia hata nikikubeepu

Nisimame kama kinyozi nikikunyoa unanisifu

Niwe godoro na shuka nilale na wewe kila siku

Shika ufunguo gari ya bosi wangu

Kwako zezeta zezeta

Niko ladhi nifunge ule wewe

Mimi zezeta zezeta

Au unataka hati nyumba ya baba yangu

Kwako zezeta zezeta

Kifaranga nibebe kama mwehu

Mimi zezeta zezeta

Mashilawadu, wana nyapia nyapia

Mashilawadu, wana nyatia nyatia

Mashilawadu, wapate kutangazia

Mashilawadu, kuwa makini mama

Mashilawadu, kwa kudandia dandia

Mashilawadu, vya watu kupagazia

Mashilawadu, macho funika pazia

Mashilawadu, kuwa makini mama eeh eeh

Rayvanny more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny Lyrics more
Rayvanny Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs