Zodoa lyrics

Songs   2024-07-07 09:25:01

Zodoa lyrics

Abbah you make my day

This is Barnaba boy classic

(Abbah)

Na...

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Sifa ya mwanaume kutunza

Mwanamke ni wanja

Mwanamke anapigwa na kanga kaka

Msingi wa nyumba kiwanja

Kuku hachinjwi na panga

Mume hawezi kuwa danga dada

Awe mnene mwembamba, mweusi inahusu

Kimbau mbau ana shepu

Hajui kubusu

Vinate uvinyonge

Hawatapiriki

Hata ukiwa ukweli

Wao wanafeki

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Eeh, dunia ya sasa ina mambo, ina mambo

Kwako mpya kwa mwenzako kitambo, kitambo

Nabadilisha kwa kutwa kama fulana

Si wanaume, kumbe mpaka wasichana

Kuna mambo, ebo!

Awe mnene mwembamba, mweusi inahusu

Kimbau mbau ana shepu

Hajui kubusu

Vinate uvinyonge

Hawatapiriki

Hata ukiwa ukweli

Wao wanafeki

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Nawe zodo zodo, zodo zodoa leo

Ni macho kodo, mmekodoa!

Barnaba more
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:
  • Official site:
  • Wiki:
Barnaba Lyrics more
Barnaba Featuring Lyrics more
Excellent Songs recommendation
Popular Songs
Artists
Songs