Bwana Mungu Nakuomba Sasa lyrics
2024-07-01 08:05:24
Bwana Mungu Nakuomba Sasa lyrics
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.
Maana wewe ni muweza wa yote ,
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Nifinyange' nifinyange
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Niongo-ze, niongoze
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Nibariki, nibariki
Unifanye kuwa kama upendavyo.
- Artist:Swahili Worship Songs